Zechariah 3:1

Maono Ya Nne: Mavazi Safi Kwa Ajili Ya Kuhani Mkuu

1 aKisha akanionyesha Yoshua,
Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu.
kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki.
Copyright information for SwhKC